Karibu kwenye Maisha Kamili

Fungua Biblia.
Uone maisha kwa nuru mpya.

Masomo ya Biblia yenye kina cha kitheolojia, moyo wa kichungaji na lugha inayolifikisha Neno la Mungu karibu na maisha ya kila siku.

Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.
Zaburi 119:105
440+ makala katika tovuti ya sasaKiswahili + English kwa wasomaji wengi zaidiBure kwa kila mwanafunzi wa Biblia

Machapisho ya sasa

Neno linalotembea nasi leo

Anza na masomo mapya yaliyochaguliwa kutoka katika maktaba.

Tazama makala zote
Uchambuzi wa Ayubu 30: Heshima Inapogeuka DhihakaAyubu 30

Sura ya 30 Uchambuzi wa Ayubu

Uchambuzi wa Ayubu 30: Heshima Inapogeuka Dhihaka

Kuna sura ambazo muziki hubadili sauti kwa ghafla kiasi kwamba moyo hushindwa kuufuata. Katika Ayubu 29, Ayubu alikumbuka siku ambazo taa ya Mungu iliangaza juu ya kichwa chake, wazee walisimama mbele yake, wajane waliimba kwa sababu ya haki yake, na maneno…

Maswali na majibu

Imani inayothubutu kuuliza

Fungua maswali yote

Sikiliza na utazame

Neno kwa ajili ya masikio, moyo na safari.

Fuata mafundisho ya Maisha Kamili kupitia video na vipindi vya sauti.

Fungua Media
Pr Enos Mwakalindile akiwa ameketi na kushika Biblia

Mwandishi na mwalimu

Pr Enos Mwakalindile

Mchungaji, mwalimu wa Biblia na mwandishi anayechanganya uelewa wa Maandiko, lugha ya kisasa na moyo wa kichungaji ili kumsaidia msomaji kumwona Kristo katika kila ukurasa—na katika kila hatua ya maisha.

Shirikiana na huduma